Masomo mafupi ya Biblia yanayokusaidia kuelewa kweli za msingi kwa urahisi.
Katika kozi hii utajifunza:
– Biblia ni nini
– Mungu ni nani
– Mpango wa wokovu
– Jinsi ya kuishi maisha ya imani
Karibu ujifunze pamoja nasi.
Course Instructor
Sehemu ya 1: Mwanzo
Somo la 1: Biblia ni nini?